(Picha na Mwanakombo Jumaa wa Globu ya Jamii)
(Picha na Mwanakombo Jumaa wa Globu ya Jamii)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
hivi serikali yetu ina pesa sana, kuna mawaziri,manaibu waziri, katibu wakuu,manaibu katibu wakuu, katibu wenezi,muktasi, manaibu bla,bla,bla
ReplyDeleteBiahara haramu ya watu ndio biashara gani hiyo body harvest au ni biashara ya kuuza watu wazima wazima? mimi sijaelewa naomba munieleweshe...
ReplyDeletenakumbuka tukiwa wafogo tulikua tunaambiwa kuna watu wananyonya damu halafu ikaja kuna watu wanachuna watu ngozi....hebu tuambieni hii ni biashara ya nini?
Anony wa kwanza hapo juu, ni ukweli usiofichika kwamba hii ndiyo cream inayogawana robo tatu ya keki ya taifa. Rais na Baraza la Mawaziri, makatibu wakuu, wakamishna, wakurugenzi, wakuu wa mikoa na wilaya na wabunge. Hawa ndio wenye haki ya kuhudumiwa na serikali tangu chakula, entertainment ya wageni, magari bure, nyumba bure and whatever. Tuliobaki tunagombania robo ya keki inayobaki. Hawa NACP ili watafune fedha kabla ya 30/06/2010 sasa wanafanya kongamano la biashara ya watu na ukihoji watakupa data.
ReplyDeleteUkiritimba wa kufungua account kwa kianzio, mfn $50 umepitwa na wakati, ndio maana watz awapendi kufungua a/c kwenye mabenki za TZ.
ReplyDeleteCRDB fungueni macho acheni ukiritimba, biashara ni ushindani sio tamaa
Is this man in a blue shirt operating the computer Joel Ndayongeje? I presume.
ReplyDeleteAliyeleta mada hii pamoja na taswira ajitahidi kuwa mwana habari aliyekamilika kwa kutoacha watu wameachama vinywa wazi bila majibu ya kueleweka.
ReplyDeleteJaribu kutoa ufafanuzi juu ya biashara haramu ya watu, kwani kwangu sijapata jibu ni biashara haramu gani ya watu wanayoifanyia kongamano badala ya kutathmini watu wanavyokufa kwa ajali kila kukicha.
Hiyo ni mbinu tu ya kumaliza pesa za bajeti ya mwaka uliopita ndo maana wanabuni njia ya kujaza mifukoni pesa hizo kabla bajeti mpya hazijaingia.
Biashara haramu ya watu "Human trafficking/trafficking in persons" ni shughuli ya kiharamia, kilaghai, kinyonyaji, kinyanyasaji na kitumwa inayohusu uchukuaji wa wanyonge wasiokuwa na fursa ya kazi, elimu wala vtega uchumi vyenye tija kutoka maeneo yenye umasikini, ufinyu wa fursa au migogoro ya kisiasa kwa njia ya mabavu, ulaghai, utekaji na kuwapeleka maeneo mengine kwa ajiri ya kuwatumikisha kwa kazi za lazima, biashara ya ngono, utumikishwaji wa nyumbani nk. kwa Tanzania wahanga wengi (takribani 300,000) ni watoto wanao safirishwa kutoka mikoani kuja DSM kwa ahadi ya kusomeshwa au kupatiwa kazi yenye tija badala yake wanatumikishwa majumbani, kwenye madanguro au kupelekwa zanzibar, uarabuni na china kutumikishwa. wahanga wanateseka wala hawana sauti ya kujitetea wala hawajui watarudi vipi nyumbani. Wakikosa namna wanakubli hali zao na kuendelea kunyonywa nguvu kazi, kunyonywa kingono nk.
ReplyDelete