Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari , Utamaduni na Michezo Seth Kamuhanda akifungua mafunzo kwa Maafisa wa Wizara hiyo jijini Dar es salaam juu ya utawala bora.
Viongozi waandamizi wa Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo wakimsikiliza kwa makini Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Seth Kamuhanda akifungua mafunzo kwa Maafisa wa Wizara hiyo jijini Dar es salaam juu ya utawala bora.
Baadhi ya Maafisa wa Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo wakishiriki mafunzo ya utawala bora yanayofanyika jijini Dar es salaam.
PICHA na Tiganya Vincent-MAELEZO

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...