Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania Mheshimiwa Eliamani Mbise amefariki dunia katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili ambako alikuwa amelazwa.
Taarifa iliyotumwa kwa vyombo vya habari na Msajili wa Mahakama ya Rufani Francis Mutungi imesema Jaji Mbise imesema Jaji Mbise amefariki majira ya saa nne na nusu tarehe 29/7/2010 .
Taarifa hiyo imesemakuwa taratibu za mipango ya Mazishi ambayo yatafanyika Arusha itatolewa baadae baada ya utawala kuwasiliana na ndugu wa marehemu.
Aidha Bwana Mutungi amesema msiba umewekwa kwa muda nyumbani alipokuwa akiishi marehemu Mikocheni kwenye nyumba za viongozi wa Serikali.
Marehemu Mbise alikuwa akifanya kazi katika kituo cha kazi cha Mahakama kuu ya Tanzania .
Taarifa iliyotumwa kwa vyombo vya habari na Msajili wa Mahakama ya Rufani Francis Mutungi imesema Jaji Mbise imesema Jaji Mbise amefariki majira ya saa nne na nusu tarehe 29/7/2010 .
Taarifa hiyo imesemakuwa taratibu za mipango ya Mazishi ambayo yatafanyika Arusha itatolewa baadae baada ya utawala kuwasiliana na ndugu wa marehemu.
Aidha Bwana Mutungi amesema msiba umewekwa kwa muda nyumbani alipokuwa akiishi marehemu Mikocheni kwenye nyumba za viongozi wa Serikali.
Marehemu Mbise alikuwa akifanya kazi katika kituo cha kazi cha Mahakama kuu ya Tanzania .
Haieleweki ni yupi hapo? Eleza tena.
ReplyDeleteMay She rest in Peace.
ReplyDeletePole kwa familia ya marehemu na wote walioguswa na msiba huo.
Mwenye Miwani
ReplyDeleteMarehemu ni wa mama wa tatu kutoka kushoto masitari wa kati nyuma ya JK au mama mweupe kuliko wote mstari wa kati na katika picha. Jina lake si Eliamani ni Eliamini Mbise
ReplyDeletemichu eeeh, watatu kutoka kushoto juu ni mwanamke sasa ni yupi hapo?
ReplyDeleteUkiangalia picha kuna mistari miwili na nyuma ya msitari wa pili kuna jaji mmoja mwanaume ambaye hana mstari. Sasa msitari wa pili wenye baba mwenye suti nyeusi (asiye Kikwete) kushoto kwako, ni wa tatu kutoka kwake, au ukihesabia ukitokea kulia kwako kwenda kushoto, msitari huo huo wa pili ni wa nne (mweupe).
ReplyDeleteBinafsi namkumbuka wakati nikiwa idara ya mahakama huko mawilayani, akiwa Msajili Mahakama Kuu, alikuwa akifika mikoani kufuatilia maendeleo, pamoja na cheo ni mtu aliyekuwa mnyenyekevu sana.
Nkyabo - Bongo
R.I.P.
ReplyDeleteNimesoma nae na nimefanya nae kazi.
Mama mnyenyekevu na mpenda watu.
Poleni wafiwa.
salam za pole kwa familia,na tasnia nzima ya sheria.. Really,she was very humble,hana makuu kabisa mama wa watu..May her soul rest in eternal peace ..AMEN
ReplyDeleteRIP
ReplyDeleteAlikuwa mnyenyekevu sana, wala sio uzushi kwa sababu amefariki, alikuwa anaheshimu kila mtu bila kujali cheo, hakika watu kama hao huwa hawaishi muda mrefu sana kama kina nanihii vile...Poleni sana wanafamilia na wanazuoni wote
Kwanza naanza kwa kusema Mwenyezi Mungu ailaze roho yke pema peponi.
ReplyDeletePili na mrudia hyo anayesahihisha mwenzi eti mistari miwili. Hata kama nyuma kungekuwa na mtu mmoja kitu ambacho si kweli maana wapo wawili bado huo ungekuwa mstari mwingine
So sad news! R.I.P mama Mbise.
ReplyDelete