Watoto Darren Wambura (kulia) pamoja na Blessing Nicholaus wakiwa na furaha sana baada ya ubatizo wao katika kanisa la Mtakatifu James (Reading UK. Watoto Darren Wambura (Kulia) pamoja na Blessing Nicholaus wakionekana na furaha kubwa baada ya kumaliza ubatizo wao katika kanisa la mtakatifu James in Reading UK.
Darren akiwa na wazazi wake Mr Robert Wambura na Mrs Happy Wambura-Nicholaus ndani ya kanisa la mtakatifu James. Wote wakiwa wameshika mshumaa kama ishara ya mwanga mtakatifu kwa mtoto Darren.




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 14 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 15, 2010

    Watoto wamependeza ila next time muwavalishe nguo size yao na si XL

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 15, 2010

    Wee anonymous wa kwanza acha vijimamboz.

    Watoto wamependeza! Mungu awabariki.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 15, 2010

    Anonymous Thu Jul 15, 01:35:00 AM nakubaliana nawe next time msiwavalishe XXXL (atakua nayo - hii kitu ipo sana kwa mwafrika),VINGINEVYO WAMEPENDEZA,WAZAZI HONGERENI KWA KUWAANDAA WATOTO KUWA WAKRISTU WAZURI.
    Mdau Netherlands

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 15, 2010

    Si unajua tena za kibongo bongo XL watavaa miaka mingi,

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 15, 2010

    hiyo imependeza kinoma kaka, naona huko na "take it from me", successfull ankle

    ReplyDelete
  6. Mdau, BloomsburyJuly 15, 2010

    Jamani majina!!!

    Kwa kweli waTanzania tuachane na ulimbukeni wa majina ya kizungu, imepitwa na wakati!! Huyo Blessing angeitwa Baraka au jina hilo kwa lugha ya kiKurya/Jaluo ingebadilisha maana yake?

    Tena kwa nyie wazazi mnaoishi nje ya nchi walau mnakutana na waAfrika wengine, haswa wa Afrika Magharibi wao hutumia majina ya kikwao.

    Mungu awaongoze watoto wenu wakue katika uchaji na wawe na mafanikio, Amen

    ReplyDelete
  7. JembeulayaJuly 15, 2010

    Mimi ningependekeza Ankal upunguze kutuwekea hizi habari za kibinafsi na uzidi kutuwekea habari zenye manufaa kwa jamii yote, naona hizi harusi, kitchen party, ubatizo etc ni personal na afadhali uzitenge kwenye Blog tofauti. Zimeshakuwa zinazidi na kujaza ukurasa na zinachukuwa nafasi.
    Wengi tunavutwa kwenye blog ya jamii kupata habari zaidi za yaliyojiri Tanzania naamini kuna matukio mengi tu kila siku.

    ReplyDelete
  8. AnonymousJuly 15, 2010

    watoto hukua haraka wangepew nguo size yao completly nusu mwaka haziwatoshi for your information. wamependeza watoto.

    ReplyDelete
  9. AnonymousJuly 15, 2010

    UTAMBULISHO: Ni Mrs Happy Wambura - Nicholaus au Mrs Happy Nicholaus - Wambura?

    ReplyDelete
  10. AnonymousJuly 15, 2010

    hizo taxedos a.k.a suits ni over sized kwa hao watoto,mngeenda mpimishe sio kuzoa tu kwenye swap meet market au garage sell

    ReplyDelete
  11. AnonymousJuly 16, 2010

    anonim wa kwana, shida ipo wapi? watakuwa nazo!!!

    ReplyDelete
  12. AnonymousJuly 16, 2010

    Mambo siku hizi ni xl na sio nguo za michael jackson na kumbukeni hao ni watoto na hizo nguo watazitumia kwenye first communion

    ReplyDelete
  13. wow,2 cuties.

    ReplyDelete
  14. AnonymousJuly 16, 2010

    Haswaaa, watoto wamependeza lakini wangependeza zaidi kama wangevaa nguo size zao na sio XL. Mambo ya nguo za bajeti hata mamtoni jamani? Eti bora tuchukue kubwa maana atakua nayo!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...