Jane Goodall Institute (JGI)founder, who is today a world-renowned primatologist, conservationist and UN Messenger of Peac, Dr. Jane Goodall delivers a Public lecture today at the State University of Zanzibar. The Jane Goodall Institute (JGI) founder, primatologist, conservationist and UN Messenger of Peace was in the Isles in her crusade to preserving the flora and fauna
SUZA lecturers, stuidents and staff listen to Dr Jane Godall
a cross section of Dr Jane Goodall's audience at SUZA today


Hongereni Wazanzibar kwa kudumisha Sunna ya kusitiri kichwa. Maana kama sio kofia basi ni mtandio...yaani shurti raha.
ReplyDelete....Wazenji bwana!.....wako simple wanakula lecture kutoka kwa Dr, mtaalam wa Kima! Meza kuu haina hata Maua!? mpeni supu ya pweza na urojo mama akimaliza!
ReplyDeletelugha gani hinatumika hapo??
ReplyDeletenasikia mataifa makubwa sasa wanakataza maijabu ma shuleni mimi nazani na sisi watanzania tufate mkondo huo !
ReplyDeletetatizo la wazenji ni wavivu sana sasa hata kumwekea maji ya kunywa bibi wawatu mnaona shida!! akidondoka je? wazenchi akili ya kufikiria vitu simple akuna kabisa!!
ReplyDeleteWapi hightable manners?
ReplyDeleteTatizo langu ni huyo jamaa anyeongea na simu wakati wa lecture!!!
Tukiambiwa uswahili umetuzidi inakuwa nongwa!
Anon wa Thu Jul 22, 03:02:00 PM, udini unakusumbua.
ReplyDeleteMbona mambo mengi yanafanywa na mataifa makubwa nyie mmeshindwa? Mf kwenda mwezini, kuwa na demokrasia ya kweli.
Kiukweli mataifa makubwa saana kama UK na US ndo hasa yana uhuru wa dini kuliko hata nyinyi.
AAH! MI mwenyewe mzenji lakini hiki kama ndio chuo kikuu kwanza kitafeli kwa NIZAMU TU.hata rangi hakijapigwa kuhusu maji huyu BIBI SI LAZIMA MAANA HALI YENYEWE NDO MWISHO MWISHO TENA.
ReplyDelete