Redds Miss Temeke Geneviva Emmanuel (kati) akifurahia baada kushinda taji hilo usiku wa kuamkia leo TCC Club Chang'ombe jijini Dar. Shoto ni mshindi wa pili Anna Daud na kulia ni mshindi wa tatu Britania Urasa. Wote watashiriki katika fainali za Miss TZ mwaka huu
Miss Temeke 2010 Geneviva Emmanuel akiwa na

mshindi wa pili Anna Daudi (kulia) na Pendo Urassa mshindi wa tatu

Miss Temeke akipozi na washiriki wengine muda wa maswali na majibu kwa tano bora

majaji toka kulia ni hashim lundenga, Prashant Patel na Boscp Majaliwa





Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...