Pichani ni mdau Feisal Omar(mtoto wa Babu Njenje na Golikipa wa Stars United) anaelekea Minnesota kwenda kula Raha kama sehemu ya sherehe za hepi besdei ya kuzaliwa kwake. Anawakaribisha wanaoweza kujumuika nae kwa mikono miwili, akikazia kwamba unachotakiwa wewe fika tu Minnesota Raha zote; Burudani na mambo yasiyokuwa na lazima muachie yeye kwani ni siku yake. Hepi besdei Feisal!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Happy Birthday Feisal from Kilimanjaro Band (Wananjenje)

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 02, 2010

    kanyoe nywele hizo au unauza nyembe

    ReplyDelete
  3. stephen kimaroJuly 02, 2010

    ....oyaaaaa Faisal...........hahahahqa long time...........hahahaha.........da..noma.....unasuka ..hahaha!..........(kwa mkoro) salam zako bwana!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...