Home
Unlabelled
KWAHERI YA KUONANA BALOZI MAAJAR
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Tukitoa Maoni Hamyaandiki. Mnataka wote tuwe tunatoa hongera tu!
ReplyDeleteivi huyu mama mbona anaagwa mwezi mzima jaamani si aende uko akaendeleze kuiuza nchi tunajua kwanini anapewa hizi nafasi..na ankali kubania ni jadi yako unaogopa maskadi ya wanasiasa
ReplyDeleteWala sisemi chochote mana juzi nilicomment hukutoa kwa hiyo habari za huyu mama usiziweka mana tukitoa maoni ya kweli huyatoi. nikweli ni mwezi wa tatu huu anaagwa sijui anahisi Matawi aliyofungua hayajatosha????????? nafikiri mmenielewa. Mana nikitaja hapa hamtaiona hii comment.
ReplyDeleteMheshimiwa kama utapata ujumbe huu naomba mara moja utulie kwenye nji ya Obama, kama bado unapapenda ukerewe bora si ungeomba ubakizwe huko.
ReplyDeleteHuyu Nae kazidi kuagwa Jamani..hebu akafanye Kazi eti...ebo...
ReplyDelete