



(picha na Freddy Maro)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hivi ulikuwa ni mkutano mkuu au tamasha la muziki jamani
ReplyDeleteHuyu Baba Kikwete jamani ana natural love,lakini kwanini hatumii upendo wake huo kwa vitendo jamani? mpaka leo matatizo ya umeme!maji!wajawazito kulala CHINI! mashuleni huko..... sawa changes zipo lakini very very slow!wakati akiamua vitu vifanyike vinafanyika,mfano mzuri wakati wa mkutano wa nchi za afrika, barabara ya Ally Hassan Mwinyi mpaka mlimani kulipendeza sana, kisa? wageni waja! WHY kusubiri mpaka wageni ndio tuone miti barabarani jama! so sad, so so sad!
ReplyDeletenimependa kwa kumpitisha DR SHEIN lkn cjapenda demokrasia magumashi ya ndan ya chama eti hakuna aliyejitkeza kugombania na kikwete!!!mambo hayo ifike mahala tuachane nayo!!!hayo ndo yanapelekea hata mahakama inakuwa haijiamini wakati imepewa full autonomy!!!
ReplyDelete