Home
Unlabelled
JK awatambulisha Dr Shein na Dr Bilal leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Ivi kwani campeni zimeshaanza rasmi au ccm tu ndio wanaruhusiwa kufanya kampeni kabla ya tarehe ya uzinduzi? Ni swali tu michuzi usiibanie
ReplyDeleteAnon wa Mon Jul 19, 03:01:00 AM
ReplyDeleteKama ulikuwa kichwani kwangu. nafikiri hii si haki ninavyojua mimi huko nyuma wagombea walikuwa wanatambulishwa Jangwani siku ya ufunguzi wa Kampeni.
CCM ukiwaambia katika hili watakwambia wanambulishwa katika mikutano yao ya ndani lakini mbona hata sisi wa nje tunona wanachofanya?. Kweli kama nchi umeishika none can stop you haya, wanedelee kutambulishana tu maana ndiyo demokrasia hiyo wanayoijua wao, huku Tume ya uchaguzi imekaa kimyaaa kama saa nane usiku vile na kamvua kananyesha kwa mbaali huku ukiwa umezunguukwa na walinzi wanaokufanya usihofu kukurupushwa na majambazi au vibaka. Tendwa naye kimyaa kama yupo mtungini vile.
hawa jamaa hiyo nchi mnaosema wamepewa na baba mtakatifu nyerere, hakuna demokrasia hapa, isipokuwa mtapata amani na ufisadi tu, swali nyie ccm bendera zenu za ccm zilikuwa zinanunuliwa sweden wakati wa nyerere, haya mashati mnatoa wapi? kama haujakufa utaona mambo!!!
ReplyDelete