Home
Unlabelled
mbinu ya kupunguza foleni dar
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Akili si hiyo, palikuwa panaboa sana hapa
ReplyDeleteKaka,
ReplyDeleteKama una kumbukumbu nzuri utakumbuka hapa zamani miaka ya 1970s na 1980s palikuwa na PENGO hapo na magari yalikuwa yanakatiza hapo, baadae pakaja kuzibwa kwa maelezo ya kwamba palikuwa panasababisha ajali.
Sasa tumerudi tena nyuma na kupazibua tena. Sijui zile ajali zilizokuwa zinaepukwa itakuwaje sasa!
Hapo sawa ila utiaji huo wa rangi ya pundamilia si sawa kwani baada ya siku 2 rangi inafitika na sisi wajaji wa waja leo kuondoka leo tujapo tena wakati rangi ishafutika itakuaje jamani?
ReplyDeleteAfu hapo ni bora mkaweka traffic light hapo baadae.
yaani mi sijaelewa ndo leo wanajua kwamba ukiweka pundamilia inasaidia watu kuvuka bila kugongwa.Pundamilia zimekuwepo toka lini jamani!!its such big shame for this country!!
ReplyDeletewatu wa mipango miji wako wapi miaka yote, utafikiri hamna watendaji kazi(lazima tunao wasomi wengi) kushughulikia mambo haya na mengine ambayo ni kero, au ni sababu afisa mifugo anaweza pewa uwaziri au ukuu fulani kwenye mambo ya masoko, na engineer akawa kwenye elimu au nyingine nyingine, lah
ReplyDeletehapa wamecheza step ya maana sasa watatue na foleni maeneo mengine jijini
ReplyDeleteMmmh, wazo zuri, akili zaidi ni KUKIONDOA kituo cha Daladala hapo Posta Mpya kabisa(na zile Taxi ubavu&mbele ya NSSF HQ)! Sijui waombe nafasi Gymkhana kuwe na main stand ya mjini?
ReplyDeleteNgoja nikajaribishe kuingia kulia hapo kutoka Imalaseko! Duh!
Ni kweli.nadhani haya ni miongoni mwa maamuzi ya maana kidogo,lazima vitu vingine viendane na hali halisi na wakati uliopo kwa sasa.
ReplyDeleteNukuu "tuta lake limekatwa bila shaka kuwezesha wapitao kwa miguu wapite kwa usalama"
ReplyDeleteHio si sahihi
Hapo panahitajika round-about ili kupunguza ajali. Kwa mtaji huu wa kukurupuka na kukata tuu, subiri tuone hao jamaa wanaotokea Imalaseko kuingia kulia wanayogongwa na madaladala..
ReplyDeletemzozaji.
sasa haya si ndio mawazo yaliyotolewa na MZALENDO wiki iliyopita?
ReplyDeletenamuunga mkono kuwa ile round about iondolewe wahamishe ile sanamu then waweke taa pale
hakuna lolote ajali zitaendelea kutokea sababu waendesha magari aka madereva wetu hawafuatilii sheria/kanuni za barabarani.Pundamilia walikuwepo tangu "KAMATA na UDA" na bado ajali zilikuwepo.
ReplyDelete