Home
Unlabelled
mdau wa milioni 9 anukia
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Michuzi wewe sio kabisa. Ulituahidi zawadi za t shirt, lakini holla .
ReplyDeletesasa hivi unatoa ahadi nyingine wakati ile ya mwanzo hukuitoa.
Acha bwana haya mambo kama huwezi. Bora utafute mfadhiri kuliko ujifadhiri wewe.... zawadi mimi binafsi sijaipata yangu. na hakuna informations zozote za kwa nini haikunifikia, je hukutuma? au mafisadi kila mahala ilipotelea njiani.
na kama ndio hivyo, basi hao wengine waliopata mbona hakuna habari zozote zinazoonesha kuwa wamepata ?
Zawadi zetu za T shirt ya blog ya jamii mimi binafsi sitaki tena, ishakuwa longolongo.
Tshirt ziko nyingi, sema niliitaka hiyo ya blog ya jamii kama mshindi halali wa milioni 8 , na si vinginevyo.
Hii kweli imekula kwetu .
wakatabahu .
Mmm.... Imeshafika 9 million.... Iko wapi Zawadi...
ReplyDeleteSasa mbona kama naona mdau wa milioni 9 keshafika na kupitiliza? Au sijui kusoma namba?
ReplyDelete