MKUTANO WA NENO LA MUNGU NA MWALIMU CHRISTOPHER MWAKASEGE KUTOKA TANZANIA :
READING UK 30,31, July & 01 august2010
Mwl/ Christopher Mwakasege wa Tanzania
Pia lile kundi la UPENDO GROUP watakuwepo.
MATARAJIO
Wenye shida za kiroho, nafsi,
Mwl/ Christopher Mwakasege wa Tanzania
Pia lile kundi la UPENDO GROUP watakuwepo.
MATARAJIO
Wenye shida za kiroho, nafsi,
mwili mnakaribishwa mpate majibu ya maswali yenu.
Nyimbo za Injili kutoka wanamziki mbalimbali
ANWANI YA UKUMBI
Rivermead Complex Leisure Centre,
Richfield Avenue, reading
Berkshire, RG1 8EQ
Mikutano itakuwa inaanza
Ijumaa 30/07/2010 utaanza saa 8mchana (2pm)hadi saa 2 jioni(8pm).
Jumamosi na jumapili utaanza saa 4asubuhi (10am) mpaka saa 2 jioni(8pm).
MAELEZO ZAIDI:
Kwa Mawasiliano zaidi
Reading -07888841971,
Birmingham-07776358464
London 07817479845
Milton Keynes, 07787357618,
Brighton,07950324330
Southampton 07717435287 au
07944632826./ Rev, Emmanuel Chatawe
WOTE MNAKARIBISHWA.
Nyimbo za Injili kutoka wanamziki mbalimbali
ANWANI YA UKUMBI
Rivermead Complex Leisure Centre,
Richfield Avenue, reading
Berkshire, RG1 8EQ
Mikutano itakuwa inaanza
Ijumaa 30/07/2010 utaanza saa 8mchana (2pm)hadi saa 2 jioni(8pm).
Jumamosi na jumapili utaanza saa 4asubuhi (10am) mpaka saa 2 jioni(8pm).
MAELEZO ZAIDI:
Kwa Mawasiliano zaidi
Reading -07888841971,
Birmingham-07776358464
London 07817479845
Milton Keynes, 07787357618,
Brighton,07950324330
Southampton 07717435287 au
07944632826./ Rev, Emmanuel Chatawe
WOTE MNAKARIBISHWA.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...