Afande Ismail Issa Michuzi akifurahia mnuso wa Siku ya Mashujaa usiku huu ukumbi wa Diamond Jubilee hall
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dk. Hussein Mwinyi akizungumza wakati wa sherehe za siku ya mashujaa katika ukumbi wa Diamond Jubilee
Katibu Mkuu wa Chama cha Wazee waliopigana vita Kuu ya pili ya Dunia ‘Tanzania Legion’, Silvester Lubala akifafanua jambo wakati sherehe za maadhimisho ya siku ya mashujaa katika ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar







Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 26, 2010

    Michu brother wako anaonekana mzee wa kimiminika kwa sana. Mpaka ule muonekano wa Kimichuzi umefifia

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 26, 2010

    iko siku nami baba yangu atakuwa raisi na mimi nitabahatika wazfa siajabu nikawa waziri wa mambo ya nje wadau wenzangu mniombee manake babangu anagombea uraisi sasa nawe kamichu hatutakutupa utapata uwaziri wa habari na michezo :)

    ndimi,

    waziri mtarajiwa wa mambo ya nje.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 26, 2010

    afu sie bado tuko nyuma kimaendeleo labda siku za mbeleni tutawawekea wakubwa teleprompter wawe wanasomea hapo. Haya mambo ya kushika makaratasi yashapitwa na wakati. pale ni unatakiwa tu unatoa sera zako kwa kujiamini huku unatizama huku na kule. Kamichu anaelewa sana manake mwenzetu kutwa anasafiri so kaona sana haya mambo.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 26, 2010

    Duuh Ankal kumbe nanyi mpo wengi hadi jeshini sio mchezo naomba siku moja uipange familia yako yote tuwajue.
    mdau
    kisiju pwani

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 26, 2010

    wazee hapo juu beer haipandi kabisa !!lol wameshazoea pombe kali !!

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 26, 2010

    Sheikh Ismail Sharaba hiyo ohooooo!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...