oyise na suzana wakiwa na wazazi wa pande zote
mbili baada ya kumeremeta sinza jijini Dar wikiendi hii
maharusi wakipozi
Maharusi wakipumua hoteli ya giraffe baada ya kumeremeta

maharusi na wapambe wao baada ya kumeremeta




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 11 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 26, 2010

    congratulations Oyite and Susane, wishing you happy marriage.
    from,
    Roby and Dora.

    ReplyDelete
  2. mmetoka chicha ile mbaya, you guys look awesome are you realy from Tanzania? ha haha haaaha!!
    we wish you al the best
    ze anko, mr & mrs g. malunda

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 26, 2010

    congrats guys
    wish you a wonderful life
    Kamasho & Happy

    ReplyDelete
  4. ahahahahah Oyite condrats sana tena sana bro wangu, u have taken a very important step. I wish u a happy marriage! Stay blessed!

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 26, 2010

    jamaa anaitwa oyite a.k.a ndonga!hongera sana

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 26, 2010

    mmependaza sana ndugu zanguni, muishi kwa upendo huohuo ulioanza nao.
    from
    Dora

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 27, 2010

    Oyiteeeee! Duh tunakukumbuka umetutoa sana Financial na Cost Accounting. hongera sana i wish you a happy marriage life.

    ReplyDelete
  8. AnonymousJuly 27, 2010

    Wadau.

    Raha ya Bongo bwana, unaingia mahala na kuchagua kitu ndani ya box!!!!



    Nkyabo - Bongo

    ReplyDelete
  9. AnonymousJuly 27, 2010

    We Nkyabo vipi?

    Kwani mbona sioni ka huyu ni mzuri kushinda mzungu? Acha majungu kila mtu anachoice yake, eti kitu na box bongo kwani bongo wanene hawaolewi mbona mimi napenda wanene na ninakitu na box (bonge) and What matters is love.

    ReplyDelete
  10. AnonymousJuly 27, 2010

    We anyonymous wa Tue Jul 27, 09:55:00 AM dunia hii bila jokes mambo hayaendi, nilikuwa natania. Binafsi nimewahi kuishi na rafiki wa kike mzungu, achilia mbali umbile, wako tofauti saana na waswahili wetu, maana kiuchumi kila kitu mnasaidiana, ni tofauti na waswahili wetu (japo si wote), ambao kwa kiasi kikubwa wanapenda mume ahangaikie matumizi yote.




    Nkyabo - Bongo

    ReplyDelete
  11. dogo mmetoka kupita maelezo. hongera sana kwa kufikia hatua hii. welldone
    from radost & flora

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...