TANGAZO LA MSIBA WA
BI THERESIA HILARY NKWANGA
Familia ya Mareh. ACP (Ret.) Hilary Ignas Nkwanga, inasikitika kutangaza kifo cha mama yao mpendwa Bi. Theresia Hilary Nkwanga Kilichotokea huko Iragua, Morogoro Ijumaa,tarehe 16 Mwezi wa Julai, Mwaka 2010 baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Familia ya Mareh. ACP (Ret.) Hilary Ignas Nkwanga, inasikitika kutangaza kifo cha mama yao mpendwa Bi. Theresia Hilary Nkwanga Kilichotokea huko Iragua, Morogoro Ijumaa,tarehe 16 Mwezi wa Julai, Mwaka 2010 baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Maziko yalifanyika siku ya Jumatatu tarehe 19 Mwezi wa Julai, 2010 huko Iragua, Morogoro.
Habari ziwafikie ndugu, jamaa na marafiki popote pale duniani.
Bwana ametoa na Bwana Ametwaa,
Bwana ametoa na Bwana Ametwaa,
Jina la Bwana liimidiwe.
AMINA


Pole sana ndugu yangu Charles martin Hillary Nkwanga kwa kumpoteza Mama mzazi. Mungu akupe nguvu katika kipindi hiki kigumu.
ReplyDeleteBaba Babu
Poleni sana Charles,eddy,matisa,Nganga,Ubara,Jina,salama na wote nilowasahau Bi Thereza tutamkumbuka kwa Mengi mema. Mungu ailaze roho yake in Peace. Ondo
ReplyDeletePOLE SANA BROTHER CHARLES.
ReplyDelete