Mwanamuziki wa muziki wa Kizazi kipya Bongofleva Selemani Msindi anayejulikana kama Afande Sele akiimba kwa hisia wakati wa tamasha la Sabasaba Concert lililoandaliwa na kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania na kufanyika kwenye viwanja vya Mwembeyanga wilayani Temeke Julai 6-7 ambapo wasanii mbalimbali walishiriki ikiwa ni pamoja na bendi za muziki wa dansi.
Mwanamuziki wa muziki wa Kizazi kipya Bongofleva Selemani Msindi anayejulikana kama Afande Sele akiimba kwa hisia wakati wa tamasha la Sabasaba Concert lililoandaliwa na kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania na kufanyika kwenye viwanja vya Mwembeyanga wilayani Temeke Julai 6-7 ambapo wasanii mbalimbali walishiriki ikiwa ni pamoja na bendi za muziki wa dansi.

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...