Meneja wa Mfuko wa Vodacom, Yessaya Mwakifulefule akimtwisha ndoo ya maji Aeshi Idd mkazi wa Kinyenze Kijiji cha Kipera Wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro akipampu maji katika kisima kirefu wakati wa uzinduzi wa Kisima hicho kilichojengwa kijijini hapo kwa msaada wa Kampuni ya Simu za mkononi ya Vodacom kupitia mfuko wake Vodacom Foundation juzi
Mtoto Fatuma Abdalah, mkazi wa Kitongoji cha Kinyenze Kijiji cha Kipera Wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro akipampu maji katika kisima kirefu wakati wa uzinduzi wa Kisima hicho kilichojengwa kijijini hapo kwa msaada wa Kampuni ya Simu za mkononi ya Vodacom kupitia mfuko wake Vodacom Foundation juzi. Kulia ni Meneja wa Mfuko wa Vodacom Yessaya Mwakifulefule aliyekabidhi msaada huo, Katikati Afisa wa Mfuko Grace Lyon na mkazi wakijiji hicho Aeshi Idd.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 12, 2010

    Spain Oyeeeeee!
    Mzeee umelala au unasherekea bado?

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 12, 2010

    Akimtwika Ankal..sio kumtwisha!

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 12, 2010

    Nahitaji hii huduma kwa ajili ya parents wangu kijijini.
    Mwenye kampuni binafsi ya kuweka hivyo visima please aweke contacts zake humu ama atume email kwa mariamkude2@yahoo.com

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...