


Dk. Paul ili atangaze matokeo ya Vodacom Miss Exellence OUT 2010
akimkabidhi zawadi mshindi wa pili Glory Mushi
zawadi yake toka kwa Mkurugenzi wa Miss TZ ankal Hashim Lundenga
Mgeni rasmi akimkabidhi zawadi Christin
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria Profesa Tory Mbwete akitangaza aina ya zawadi watazopata washindi. Tofauti na mashindano mengine ya urembo OUT wanaandaa mashindano haya kuhamasisha vijana kujiunga na chuo hicho ambapo mshindi anapata pesa taslimu na scholarship ya kusoma hadi ngazi ya Masters


Ilipendeza haswa na kumeremeta vya kutosha shukrani ziwaendee waandazi wa shughuli nzima hiyo.
ReplyDelete