Kaka Michuzi na wadau wote wa globo hii.
Tunamshukuru Allah kutujaalia sote kufikia kumi hili la pili la mwezi huu mtukufu wa Ramadhani, na hivyo tunawaombea baraka, afya na amani wadau wote wa globo hii waliojaaliwa kufunga Ramadhani na ambao hawakujaaliwa. Kaka michuzi, sisi Leeds Swahili Community tunawashukuru sana watu wote waliohudhulia muhadhara wetu wa leo uliofanyika katika ukumbiwa Mabegate Mill na kisha kufuturu kwa pamoja kwenye ukumbi wa Ebbo Garden
Shukurani za Pekee zimuendee Muhadhiri ; SALUM KHATIBU na wenzie kutoka London
Kwa wengine ambao hamkupata nafasi ya kushiriki nasi kwa safari hii, tunahakika Inshaalah tutashirikiana nanyi safari ijayo. Hata hivyo kwa upendo wenu tumeona tushiriane nanyi kwa kuwaonyesha baadhi ya matukio kama ifuatavyo:
Pichani juu ni Ustaadh Malick (mwenye koti) akifungua muhadhara na kumkimkaribisha rasmi muhadhiri Ustaadh Salum Khatib na pembeni kushoto mwenye miwani ni mwenyekiti Amran Rashid
Tunamshukuru Allah kutujaalia sote kufikia kumi hili la pili la mwezi huu mtukufu wa Ramadhani, na hivyo tunawaombea baraka, afya na amani wadau wote wa globo hii waliojaaliwa kufunga Ramadhani na ambao hawakujaaliwa. Kaka michuzi, sisi Leeds Swahili Community tunawashukuru sana watu wote waliohudhulia muhadhara wetu wa leo uliofanyika katika ukumbiwa Mabegate Mill na kisha kufuturu kwa pamoja kwenye ukumbi wa Ebbo Garden
Shukurani za Pekee zimuendee Muhadhiri ; SALUM KHATIBU na wenzie kutoka London
Kwa wengine ambao hamkupata nafasi ya kushiriki nasi kwa safari hii, tunahakika Inshaalah tutashirikiana nanyi safari ijayo. Hata hivyo kwa upendo wenu tumeona tushiriane nanyi kwa kuwaonyesha baadhi ya matukio kama ifuatavyo:
Pichani juu ni Ustaadh Malick (mwenye koti) akifungua muhadhara na kumkimkaribisha rasmi muhadhiri Ustaadh Salum Khatib na pembeni kushoto mwenye miwani ni mwenyekiti Amran Rashid
Wapi Dr.Mahir?
ReplyDeleteMaashaallah, naona maustaadh wengi mliwakilisha,
Hivi siku hizi hakuna wanawake waislamu? AU ndiyo dini?
ReplyDeleteHii fuatilia kwa makini mbona ina utata? Naona kama kuna waliouchapa usingizi....
ReplyDeleteHebu yafikirieni haya:
ReplyDeleteMosi, naani ni lazima mkae chini....jangwani ni mahema shauri ya kuahamahama ...kubeba beba mameza na viti ni shida! Lakini sio kila mahali ni jangwani!
Pili, wakati wa kuiyta waumini kuswali..hakuna haja ya kupaaza sauti. Siku hizi mifumo ya kupaza sauti ipo mingi; hata hivyo, ni pamoja na teknolojia ya saa. hakuna haja ya kuwakumbusha waumini saa ya kuswali imefika kwa kupaza sauti!
Ni mawazo tu...soma na ukae kimya hapa mtndaoni; tawanya kwa wenzako!