Happy Birthday Munira Mfundo
Happy Birth day to Youuuuuu Happy
Birthday Inila Udo Happy Birthday To You...
Tunakutakia maisha mema na marefu mnooooo, usheheree siku yako ya kuzaliwa leo Agosti 4, kwa amani na upendo. mungu akujaalie baraka tele,na akupe kila unachomuomba. Tunakupenda sana
Baba Mfundo Peter Mfundo & Mom.Halima H. Mfundo
Germany

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. Naungana na wadau wote walioshauri kutumia lugha fasaha. Hii blog inatembelewa na watu wote. Wengi wao ni watu wenye heshima zao. Wengine wanajifunza lugha hizo

    ReplyDelete
  2. mtoto mzuri! lah! naomba email yako unafaa kuwa mchumba

    ReplyDelete
  3. Woow, thanks for your flattery. I am blushing (I have turned red really).

    Well, sina active email, ila kuna hizi email addresses za jamaa yangu, waweza zitumia,

    fisadikiwembe@bajaji.co.btb

    na

    gwagu@juju.btb

    I am eargerly awaiting your email.

    Thanks.

    ReplyDelete
  4. michuzi nawewe umezidi kuchapia unavosema happy birthday ya kuzaliwa kwani kuna happy bbirthday ya kufa????jiangalie weye

    ReplyDelete
  5. Happy birthday to Munny, wish u all the best.. lots of love Aunt F

    ReplyDelete
  6. hi!Munira
    Happy Brithday tunakutakia afya njema,elimu bora na maisha mema!
    Hongera sana kwa siku kuu ya kuzaliwa.
    Wadau
    FFU ughaibuni

    ReplyDelete
  7. nilidhani kafa.... jamani wekeni picha za aina nyingine nimeshtuka sana sababu nawajua hawa kina mfundo tunaishi nao vizuri kule kawe mlalakua

    ReplyDelete
  8. Happy B'day

    (US Blogger)

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...