Matokeo toka jimbo la Tanga mjini Yanaonesha kwamba mbunge anayemaliza muda wake Mh. Harith Mwapachu, ameangushwa na mgombea Omari Nundu.

Mwapachu, ambaye amepata kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, ameangushwa na mpinzani wake kwa kuzidiwa kura 5293 huku Kassim Kisauji akipata kura 5087.

Katika Jimbo la Muheza, mbunge anayemaliza muda wake Herbet Mntangi ameshinda kwa kura 9,142, akifuatiwa na Julius Shemwaiko (6,595) na Jonathan Mhina (629).

Korogwe Mjini Yussufu Nasiri ameshinda kwa kura 2513, akifuatiwa na Joel Bendera (2258) na Mariam Nafutalkura (428).
Kwa matokeo zaidi yaliyopatikana leo
nenda libeneke la michuzi-matukio

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. PETER NALITOLELAAugust 03, 2010

    PETER NALITOLELA, ANKAL MICHUZI SASA WEWE KAMA MSOMI WA MUZUMBE ALIYEBOBEA NA KUPATA DIGLII YA ECONOMY KUTOKA CHUO KIKUU CHA UNIVESITI CHA KULE MUZUMBE MBONA HAUJASIMAMISHA WAGOMBEA WAKO WAKO, NAONA TU UMEMUWEKA JANUARY MAKAMBA TU? NABII HIS HOLINESS YOHANA MASHAKA ANGESIMAMISHWA KUWAKILISHA BULOGU YA JAMII, HATA KAMA NABII HASINGEWEZA BASI UNGEMSIMAMISHA DAKITARI HILDEBANDI SHAYO, TUNGEPIGA KULA HATA KWENYE BULOGU YETI ETI, JAMAA NI VICHWA SANA WALE KUNGE LETU TUKUFU LINGNEPENDEZA SANA

    ReplyDelete
  2. Hello mbona sjaona matokea ya mgombea binafsi, Mh. Issa Mwihidini Michuzi si nasikia aligonbea jimbo la Tegeta mjini...???!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...