Home
Unlabelled
mh. john mnyika achukua fomu leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Kijana huyu hata angekuwa mgombea binafsi mimi na familia yangu tungempigia ata kama imefutwa!yani, uwezo anao, nafasi anayo na moyo anao. tuliokuwa nae mbuyuni primary, tambaza na UDSM twamjua fika hy kijana. Go brother. huu ni wakati wako JJ. May God be with you wezi wa kura wasifanye mambo ths time!
ReplyDeleteheeee!huyu kijana kumbe ni handsome hv!Mungu akubariki
ReplyDeleteHUYU NDIO RAISI WANGU AJAYE INSHAALLAH, KIJANA MAKINI SANA HUYU, SAFU YANGU ITAKUA KAMA HIVI
ReplyDeleteRAISI - JOHN MNYIKA
WARIRI MKUU- MAKAMBA JNR
UCHUMI- ZITTO KABWE
MAKAMU WA RAISI- HALIMA MDEE
NISAIDIENI NIMUWEKE WAPI NAPE MNAUYE
KAKA MICHUZI UNABOA NA HABARI ZAKO ZA CHADEMA KILA SIKU. TOKA WAMEKUTISHA BASI UNA BEND TO THEIR PRESSURE. MBONA CUF HABARI ZAO HUWEKI? AU NDIO UNAOGOPA KUITWA MDINI? HAO HATA UKIWAFANYIA VIPI HAWATAACHA KUSEMA. NI USHAURI WA BURE TU UKITAKA CHAPISHA HUTAKI FICHA
ReplyDeletesonga kaka, bila shaka umekomaa sasa, na kilichokuangusha 2005 umeshakiona, kwa hiyo safari hii kifanyie kazi.
ReplyDeleteVaa magwanda dogo, CHADEMA hakuna ubrazameni.
ReplyDeleteNilichokupendea Michuzi ni kuwa umeona mbali, baada ya kuchungulia umeona kuwa CHADEMA wanaenda kuchukua ikulu mwezi wa Oktoba. na wewe kibarua chako cha Usa---- unaweza kukikosa na vijisafari vya hapa na pale utavikosa na vitakuwa kwishne. sasa unaanza kutupamba,hahahahahah kaza buti ndugu yangu tunaweza kukupa kazi ya ukatibu kata wa CHADEMA tawi la kunduchi.
ReplyDeletemdau Paka la jikoni.
Good luck John Myika.
ReplyDeleteUwezo unao, nia unayo na sababu unayo ya kuwa mbunge.
(US Blogger)
Kijana. Kura yangu ya ubunge nitakupa lakini urais nampa mkuu ambaye ni handsome kama wewe na si mwingine bali JK. Nyote wawili mna mvuto. Siwezi kumpa kura yangu FREEMASON. No.
ReplyDeleteTuweke pembeni ushabiki wa vyama tuangalie watu wanaoweza kule changamoto mpya kwa maendeleo ya jiji la Dar es salaam, kijana huyu anastahili kuwa mbunge, msikilize anavyojieleza kwa kujiamini, anvyosimama na kusema bila woga kero zilizopo, wabunge wengi wa Dar waliopita hawajaweza kupambana na kutafuta ufumbuzi wa kero nyingi hapa Dar, mfano mkubwa pale Ubungo, mabilioni ya shilingi yanavunwa kwenye kodi za mabasi, magari binafsi, taxi, abiria na wasindikizaji kila siku ya Mungu lakini sio mbunge wala diwani au kiongozi yoyote aliyekuwa anajaribu kufungua domo kuulizia hilo mpaka PM alipoenda mwenyewe!!!! Tunahitaji mtu kama huyu jamani!!!!!!!!!!!!!
ReplyDeleteKama ana mvuto na unampenda sana kanywe nae chai. Uongozi sio sura
ReplyDeletejj kaza buti tupo nyuma yako kura utapata labda waziibe km walivyofanya 2005 na siku zote mafuta hujitenga na maji,uongozi unauweza na hakuna kuangalia nyuma,tunahiaji mabadiliko ubungo!unakumbuka enzi za Yuna,Fhi?
ReplyDeletego mazee!
zawadi.