MAREHEMU SEIF RAMADHAN ATHUMAN


JUMUIYA YA WATANZANIA UNITED ARAB EMIRATES INASIKITIKA KUWAARIFU MSIBA WA NDUGU YETU BW. SEIF RAMADHAN ATHUMAN, MKAZI WA ILALA QUARTERS DAR ES SALAAM KILICHOTEKEA TAREHE 6 AGOSTI 2010 DUBAI UAE.

MAZISHI YANATARAJIWA KUFANYIKA BAADA YA KUKAMILIKA KWA TARATIBU ZA KISERIKALI NA KUPATIKANA MWILI WA MAREHEMU, TAARIFA YA MAZISHI ITATOLEWA BAADAE

MAZISHI YATAFANYIKA KWENYE MAKABURI YA AL QUOZ

ISSA MAJID MAGGIDI
NAIBU KATIBU JUMUIYA YA WATANZANIA UAE

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. I L W I I R, poleni sana na tuko pamoja jee Huyu seif amewahi kuishi Uholanzi ama nimefananisha?

    ReplyDelete
  2. INNA LILLAHI WAINNA ILAIHI RAJIUN

    ReplyDelete
  3. INNA LILLAHI WAINNA ILAIHI RAAJIUN,huyu bwana alikuwa akiishi ujerumani katika mji wa Hameln.

    ReplyDelete
  4. Amefia wapi kiasi kwamba mwili haujapatikana? Baharini?

    ReplyDelete
  5. seif ramadhan halikuwa rafiki yangu sana,na mungu mahalipema

    ReplyDelete
  6. Inna lillahi waina ilaihi rajiun

    ReplyDelete
  7. Huyu jamaa aliishi Ujerumani na aliishi na Uholanzi pia alipofika dubai pia alitokea uholanzi....dubai hajafikisha hata mwaka tangu afike....Alikufa majira ya jioni akiwa amelala, ina aminika ni pombe ndo zilizosababisha kifo chake....Polisi wamezuia maiti yake kwasabab alikuwa anatumia passport yenye jina la Kikristo, kwahiyo wakat anataka kuzikwa kikristo watanzanai ndo wakasema kuwa ni muislam wakaambiwa wathibitishe kwa documents...sasa ndo zimeagizwa documents toka tanzania na kuthibitishwa na serikali ya bongo...zikipatikana hizo karatasi watu watapewa mwili mwa marehemu kwa ajili ya mazishi....INALILAH WAINAILAH RAJIUUUN.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...