Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 24 mpaka sasa

  1. mnaona sifaaa vile ni obama mbona kikwete naye anasemaga hamleti

    ReplyDelete
  2. God Bless you Mr. President.

    God Bless America.

    God Bless Tanzania.

    God bless you all.

    (US Blogger)

    ReplyDelete
  3. Doh watu bwana. sasa huyo ndugu yetu wa kwanza hapo juu ana maana gani?

    ReplyDelete
  4. Mdau sihatuna ya kikwete post basi kama unayo.

    ReplyDelete
  5. Huyu mheshimiwa Obama is definitely on his way out...akiambulia hata 30% of the vote itakuwa ni maajabu...

    ReplyDelete
  6. Mohammed SultanAugust 15, 2010

    MTOTO wa kikopo utamuona tuu hata ukimtia nani ya chupa atatoa kidole nje na kukupiga yowe nimo humuuuu.

    ReplyDelete
  7. Mohammed SultanAugust 15, 2010

    MTOTO wa kikopo utamuona tuu hata ukimtia nani ya chupa atatoa kidole nje na kukupiga yowe nimo humuuuu.

    ReplyDelete
  8. OBAMA LEO KWENYE FUTARI YA RAMADHANI KESHO KWENYE KAMPENI ZA KUDAI HAKI ZA MASHOGA AUTOMATICALLY 2012 JAMAA ATASHINDWA KWA AIBU KUBWA

    ReplyDelete
  9. OBAMA UCHUMI UMEMSHINDA KABISA HAPA USA KILA SIKU KUCHAPA PESA MPYA SASA KAHAMIA KWENYE DINI NAWAHURUMIA DEMOCRATIC HAPO NOVEMBER WATASHINDWA VIBAYA

    ReplyDelete
  10. Right mdau namba moja kwanza kuna madai kuwa mshikaji anatetea sana mashoga kwa kuwa

    ReplyDelete
  11. THANKS MR.PRESIDENT.
    GOD BLESS AMERICA
    GOD BLESS TANZANIA

    ReplyDelete
  12. ondoa majeshi yako afghanistan na irak acha kuua waisilamu wanaotetea dini yao

    ReplyDelete
  13. mikono yake imejaa damu za waarabu pakstani,afghanistan na irak hivyo anajikomba kwao

    ReplyDelete
  14. Mdau naungana na wewe huyu mheshimiwa anajiharibia mwenyewe na juzi kaibua lingine kuhusu ngoma wanayotaka kujenga karibia na zero ground, u know what am talking about. Wamarekani wamekuja juu anasema walimnukuu vibaya. Jamaa anajiharibia mwenyewe, anajua kabisa hii nchi ipo upo gani yanapokuja mambo ya dini, moto ataanza kuuona november hapo

    ReplyDelete
  15. His aproval ratings is 40 percent . Haya mambo ya msikiti angewaachia watu wa NY . Anajua wazi wamarekani wanamhisi ni mslam na sio mmarekani . Jana amebadilisha sentensi anasema hajasema hivyo . Tangia ubama amechaguliwa nchi imefawanyika sana . Weusi wako kivyao, weupe ndio usiseme na sasa waspanish ndio wanagombaniwa .

    ReplyDelete
  16. KUJENGA KANISA ZANZIBAR NI KAZI NGUMU KWANZA KUAPTA KIWANJA TU! MAPKA UPITIE MGOGO WA MUISLAM! MAANA MWAONGELA YA MAREKANI AMBAPO NI HAKI MTU KUABUDU; LAKINI TZ UKIENDA Z'BAR HAKI YAKO YA KUABUDU HUPATI MPAKA KWA MBINDE KALI LAKINI BARA KILA KAMA ALIVYOSEMA MZEE WETU MPENDWA RAIS MSTAAFU KILA MTU RUKSA KUABDU KWA KADILI YA MGUSO WAKE: MWENYE KUEPNDA KUSALI JUU YA JIWE APEWE KIWANJA....NK. HATA SASA BONGO TUNA TATIZO VIONGOZI AMBAO HAWEZI KUSIMAMA KUTETEA KATIBA NA TARATIBU ZA KITAIFA. LIKIWEPO SUALA LA KADHI WANAWZA KUCHAGULIWA KABLA YA KUSEMA UKWELI WA KIKATIBA, SANA SANA WATASEMA TUMELIUNDIA TUME; NA BAADAE CHINI CHINI WANTUMA WATU KWENYE MISIKITI NA MAKANISA WENYE KAULI TAFOUTI. UONGOZI WA AINA HIYO UGAWA TAIFA NA UANDAA MAZINGIRA YA VITA VYA KIDINI NA KIKABILA. MBAYA ZAIDI TU TAIFA CHANGA, WATU WETU HAWACHELEWI KUKIMBILIA KWENYE KAPUA LA UKABILA AU UDINI KUTAFUTA UFUMBUZI; Obama ni Kiongozi Shupavu anyesimamia Taratibu na Katiba ya Nchi yake

    ReplyDelete
  17. Jamani tuacheni majungu hapa, huyu mshikaji hajasema lolote mbaya...lakini siunajua kisa mmakonde tu watazusha mambo chungu mzima...Big up OBAMA.

    ReplyDelete
  18. Obama amenishangaza anavyofanya maamuzi yake . Yaani November 0bama atakuwa na congress ya ma tea party . Atakoma watamwonyesha . Na kesho jumatatu Itaanza na Rush Limbaugh akipokelewa na Hannity na hapo anafuatia. GLENN BECK huyo ndio chizi mwenyewe jioni anamalizia BILL OREILLY jumanne kura za maoni 30 percent . Wanataka vacation za hali yajuu mambo juu ya mambo . Kweli mwafrika akipata position anaharibu mwenyewe . Makubwa

    ReplyDelete
  19. A smart president!! This is good for foreign reach out and for healing wounds among west and Muslim...Yuko juu kuliko wewe mwenye chuki za kidini..Anatambua wote sisi ni binadamu and the need to respect and acknowledge one another.

    ReplyDelete
  20. Acheni chuki. Yaani huyu bwana kuzungumzia Uislam basi ndiyo na approval ratings zake za kina Oreilly zinakuwa issue.

    Nilidhani we are proud of having a black president! Sikujua pia ni lazima awe anti-islamic as well.

    Preach LOVE and practice HATE huh!

    ReplyDelete
  21. Great, a smart president,,,, salute mdau wa Mon Aug 16, 06:37:00 AM

    ReplyDelete
  22. Mon Aug 16, 02:30:00 AM
    ni kweli kabisa nakukubalia %zote
    adi mtu unashangaa ivi zenji ni sehemu ya tanzania au uarabuni?

    kwani hakuna wazenji wakristo na katiba sijui nn yao inasemeje abt kujenga makanisa?mbona misikiti inajengwa?
    wee ngoja kwa maombi tu

    %$$#*)**^%%#

    ReplyDelete
  23. Obama anamatatizo na faith yake hajulikani mslam au mkristo . Hii imewapa republican jembe . Wewe hapa sio Tanzania hapa siasa imekomaa hapa . Neno moja tu linakuangusha . Obama alichaguliwa kuwa raisi watu hawakujali rangi . Sasa akikosea wamwonee huruma kwa sababu mweusi ? Hii nchi ni ya wazungu na wajewish . Obama yaani tabu tupu

    ReplyDelete
  24. Kusema ukweli obama anachemsha huyo . Kweli siasa alivyokuja juu nilihisi atakuwa raisi mzuri sasa anaelekea kwa JIMMY Carter. Amesahau alikotokea

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...