Ankal naomba msaada wako! Kuna pochi yenye nyaraka muhimu za ESTHER IBRAHIM SHEDAFA imeokotwa usiku wa tarehe 29 Agost 2010 maeneo ya Sinza Mori na kondakta wa daladala iendayo Sinza/Kariakoo ikiwa na nyaraka kama kadi ya benki, kadi ya hospitali na vyeti vyake muhimu. Kwa yoyote anayemfahamu mtu huyo awasiliane nasi.

tuwasiliane kupitia email najuawajua@yahoo.com
Kwa taarifa zaidi tembelea www.unajuahii.blogspot.com

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Nakushukuru sana kwa kumtafuta mtu aliyepotelkewa na hiyo pochi. Mungu akubariki wewe ni mfano bora wa kuigwa na Watanzania wote. Nadhani bi Shedafa atafurahi kupata hizi nyaraka zake. Mungu akuzidishie moyo wa Imani.

    ReplyDelete
  2. nani alisema malaika wako mbinguni?ankal huyu bwana tunaomba taswira yake anatakiwa front page ni mfano wa kuigwa.please. mfikishie salamu zetu

    ReplyDelete
  3. Ni nani huyu, Mungu aendelee kuibariki roho yake

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...