


Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Duuh kumbe mawaziri bado wapo nilisikia kama jk amevunja baraza la mawaziri. labda siku sikia vizuri!
ReplyDeleteMdau
kisiju pwani
Duuh watu wamejinyonga na matai na masuti halafu yanko yakupigia simpo tu kuonyesha huko kwenye ranch lake, good looking JOseph
ReplyDeleteDuh! Kumbe misopu fulanas umepata kongo? Kama yako vile
ReplyDeleteoh how nice kuona picha ya mke wa lumumba. LUMUMBA HEROES NATIONAL. history ya lumumba iandikwe na mke wake.
ReplyDeleteUKITAKA KUJUA HABARI ZA PATRICK LUMUMBA NENDA KATIKA YOU-TUBE UTAFUTE HABARI ZAKE ANDIKA TU CHIA LAKE KWENYE KISANDUKU CHA SEARCH UTAONA JINSI ALIVYOTESWA HADI ANAULIWA INATIA HURUMA. KUNA VIDEO KIBAO ZA LUMUMBA HUKO
ReplyDeleteKWENYE YOU-TUBE INATIA HURUMA WAZUNGU SI WATU
ZEEEE FULANAz ini ze hausi!!!!Ankal kumbe Mjomba Joseph alikupigia pande kwenye ze fulana
ReplyDeleteNimefurahi kumwona Mhe. Ngilangwa. Very respectful man, I salute you! ni kati ya watu wachache waliotumika kwa uadilifu wa kweli ktk Serikali ya Tanzania. Live long and remain blessed.
ReplyDelete