Kwa mwaka huu AY alianza kunyakua tuzo ya Chaguo la Teneez ya Kenya,Kili Awards ya Tanzania na Museke Awards ya Ghana.Mwaka huu ni moto chini sidhani kama kuna artists wa bongo aliyekuwa nominee kwa awards za nchi tofauti na kushinda Tuzo..
Sasa amechaguliwa katika final za Tuzo za Ufaransa za RADIO FRANCE INTERNATIONALE DISCOVERIES AWARD 2010 {Rfi Prix Découvertes 2010} zitazofanyika September,ndani ya Paris.
AY anawaomba watanzania wote kumpigia kura za kutosha aweze/tuweze kushinda tuzo hizo.Unaweza kuvote kupitia
www.rfimusique.com
PAMOJA SANA
Sasa amechaguliwa katika final za Tuzo za Ufaransa za RADIO FRANCE INTERNATIONALE DISCOVERIES AWARD 2010 {Rfi Prix Découvertes 2010} zitazofanyika September,ndani ya Paris.
AY anawaomba watanzania wote kumpigia kura za kutosha aweze/tuweze kushinda tuzo hizo.Unaweza kuvote kupitia
www.rfimusique.com
PAMOJA SANA
big up ay namkubali sana but hiyo web kaka michuzi nimeingia tatizo moja tu imeandikwa kifaransa tupu hata ile fomu ya kupigia kura nayo imeandikwa kifaransa na kwakuwa mm binafsi namkubali sana ay nimefanya kubahatisha tu kumpigia kura ila sijui kama imeenda so kama kunanjia nyengine tuambie ni jinsi gani tutampa tafu huyu mwenzetu coz ametulia sana huyu mtu na napenda afike mbali zaidi ni hayo tu
ReplyDelete