Mkurugenzi Mtendaji, Bw Singili (katikati) akiwa na Sheikh Ahmad Mussa (kushoto) na Sheikh Hamisi Milambo
Sheikh Hamis akihitimisha kwa dua
Mkurugenzi wa Bodi Bw. Kidula akipakua futari.
wafanyakazi wa Azania Bank wakiwa na wageni waalikwa katika futari

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Hakika picha inapendeza .... vyakula lukuki na kama inavyoonekana ni wenye uwezo wamekuwa katika tukio hili. Swali. Je ni mara ngapi tumekwenda kwa viwango hivihivi kwa wasionacho??? Tafakari

    ReplyDelete
  2. Dunia hii imejaa unafiki sana. Wanachukuana watu wale wale kwenda kufuturisha Movenpick! Kwa nini wsitumie pesa hiyo kusaidia wagonjwa wanaokosa uwezo wa kununua huduma mahospitalini au watoto yatima? Dini hizi zinashangaza sana!

    ReplyDelete
  3. zamani nlikuwa nikisikia flani ameenda nje basi naona wamewinii..afu wanatakataga..bt nau, naona km abroad pagumu...

    ReplyDelete
  4. MIMI NACOMENT ON THE GUY ABOVE ANAEZUNGUMZIA DINI, IMEFIKIA KIPINDI SASA WATANZANIA TUBADILIKE KILUGHA, KUTUMIA MANENO YASIO NAMAANA NI AIBU FOR OUR COMMUNITIES ZETU

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...