Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Muzic ni mzuri tatizo video quality is very poor

    ReplyDelete
  2. dah sasa huyu A.y tumeshakichoka hichi kiswata chake cha zambarau...kiiila eventa anacho, sjui kwenye miss Tanzania kipo,kwenye maclub humoo yukonacho, kiiila mahali, au ndio kauka nikuvaeeee,au ndio kimetoka kwa babu? alaaa

    ReplyDelete
  3. mdau wa kwanza umeona kisweta tu kwenye video nzima? baada kutoa hilo dukuduku lako ungechangia kitu kingine che maendeleo kwenye hio video sio kila saa kutafuta tafuta vitu visivyo na maana.


    Quality ya video ni nzuri sana compared na video zingine zingine za bongo flava.nyimbo pia kali na mpangilio wa beats ni mzuri.

    ReplyDelete
  4. mdau wa kwanza umeona kisweta tu kwenye video nzima? baada kutoa hilo dukuduku lako ungechangia kitu kingine che maendeleo kwenye hio video sio kila saa kutafuta tafuta vitu visivyo na maana.


    Quality ya video ni nzuri sana compared na video zingine zingine za bongo flava.nyimbo pia kali na mpangilio wa beats ni mzuri.

    ReplyDelete
  5. Ngoma kali! Safi sana mzee wa commercial.AY iss the most promising bongo flava artist in Tanzania.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...