Habari iliyoifikia Globu ya Jamii sasa hivi punde toka visiwani Zanzibar,inaeleza ya kwamba Tovuti ya www.dksheinzanzibar2010.org,itakuwa live leo katika uzinduzi wa kampeni za Chama Cha Mapinduzi ( CCM) visiwani Zanzibar toka katika viwanja vya kibandamaiti kuanzia saa tisa unusu,alasiri leo hii.
(kwa saa za kibongo).
Hivyo wadau mnatakiwa kuufuatilia mkutano huo kupitia mtandao uliotajwa hapo juu.
(kwa saa za kibongo).
Hivyo wadau mnatakiwa kuufuatilia mkutano huo kupitia mtandao uliotajwa hapo juu.
Kwanza kabisa napenda kusema, kama kiongozi na mzee watu, napenda kutoa heshima zote kwake, lakini nimeangalia website yake, hamna sera bali matembezi ya campaign, kwangu mimi nahisi maalim seif akichukua na Dr. Shain akawa makamu hapo ungozi utakua maridhawa kabisa,
ReplyDeleteZanzibar lazima ije juu, na mfano kwa Tanzania na Afrika kwa ujumla, DEMOKRASIA ILIYO KOMAA yenye kujali watu na nchi na siyo ubinafsi.
Hongera sana Dr. Shain, nakupenda sana lakini naona Maalim kakupip this time around, angalia website yake utaona ni sera za maendeleo tu, na si maneno ya campaign tu. Nini kitafanyika, na siyo wapi natoka, na wapi naelekea hatujui ??
Huo ni mtizamo wangu wa Dr. Shain na Maalim
http://www.dksheinzanzibar2010.org/habari-motomoto/10-dk-shein-aiteka-zanzibar.html
ReplyDelete