ASSALAAM ALEIKUM WARAHMATULLAH WABARAKATTU

HAKIKA LEO NI SIKU NYINGINE YENYE REHMA NYINGI KUTOKA KWA MWENYEZI MUNGU MARA BAADA YA KUMALIZIKA KWA IBADA YA FUNGA YA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHAN.

HAKIKA MWENYEZI MUNGU MUUMBA WA MBINGU NA ARDHI NA KILA KILICHOMO NDANI YAKE AMETUJAALIA KUFUNGA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHAN KWA KUDRA ZAKE NA KWA IMANI YA KWAMBA DUA ZETU NA IBADA ZETU ZOTE ZIMEPOKELEWA KWAK .

GLOBU YA JAMII PAMOJA NA TIMU YAKE IKO PAMOJA NA WADAU WOTE POPOTE PALE WALIPO KATIKA KUISHEREHEKEA SIKUKUU HII YA EID EL-FITR NA PIA INATOA MKONO WA EID KWA KWA WADAU WOTE NA KWA BARAKA ZOTE.

EID MUBARAK

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. Ankal Mzee wa Libeneke,tunashukuru na tunaupokea mkono wa Eid,kwa mikono miwili,nasi tunakupa mokono wa Eid mubaraka! wewe pamoja na wadau wote,Eid Mubaraka.
    wadau
    FFU wa ughaibuni

    ReplyDelete
  2. minalfaidhina Ankal kwako pia na wote

    ReplyDelete
  3. Min al-faidhina. Shukrani sana na Eid Mubarak na wewe kaka. Na pia napenda kuchukua nafasi hii kuwatakia ndugu zangu wa TZ na waislamu wengine wote popote pale walipo katika kuadhimisha sikukuu hii na kwa kumaliza mwezi mtukufu wa Ramadhani. Eid Mubarak tena.

    ReplyDelete
  4. Eid Mubarak kwako na timu nzima ya blogu ya jamii na wadau wake popote ulimwenguni

    ReplyDelete
  5. minal faaizina......mwenyezi mungu atuweke tuje tufunge ramadhan ijayo pamoja inshallah

    ReplyDelete
  6. kul am waantum bikhair! tunakutakia nasie eid njema wewe na familia yako . m mungu awajalie barka tele katika siku hii njema. nawatakien eid njema wote popote mlipo . m mungu ajalie na mwakani atupe uhai tuione inshaallah!

    yabinty

    ReplyDelete
  7. minalfaidhina ankal ukiona kimya ujue sina hahahahaaaaa idi njema mzee wa libeneke.

    ReplyDelete
  8. Asalaam alaykhum wajina tunashukuru sana kwa salaam zako mwanana inshaalah kila aliefanya toba hii dua zake zitakua zimepokelewa Eid Mubarak!

    Chef Issa

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...