Home
Unlabelled
IBADA YA KUAGA MWILI WA ALIEKUWA MKEMIA MKUU WA SERIKALI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Pole sana familia. Hasa binti yake. Mungu atawapa nguvu daima
ReplyDeletePole sana familia. Hasa binti yake. Mungu atawapa nguvu daima
ReplyDeleteWe Michuzi Muislamu gani unaweka picha za maiti??? Kafiri mkubwaaaaaa!!!!!!!
ReplyDeletethe last pic,namfeel huyo binti.i have been thru the same situation,sisi watoto wa kike tupo so close na baba zetu.masikini,pole sana familia ya Dr.Mashimba,may his soul RIP,pia mungu awape nguvu wanafamilia hasa watoto na mke wa marehemu.
ReplyDeleteResptect the dead Michu! Sio vizuri kuweka picha za maiti! Privacy please!
ReplyDeletewewe anonymous wa 3 wewe ndo kafiirrrii shetani kwani hii blog ni ya kiislamu....badala ata ya kutoa pole unaanza uuslamu wako apa....na ngoja yakukute yako tutaonaaa...
ReplyDeletepoleni sana jamani Mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu sana, binti wa marehemu bado hajamaliza shule ndo wanafanya mtihani wa kumaliza shule mwezi kumi, unaposema binti yake aliyekuwa akisoma kifungilo na wakati bado yuko school haileti maana.
ReplyDeleteMungu awape nguvu wafiwa katika kipindi hiki kigumu tuko pamoja nanyi katika maombolezo na majonzi haya , pia Mungu aiweke roho ya marehemu mahali pema peponi.
ReplyDeletekwa kweli inasikitisha sana jamani hasa kwa kabinti kake mungu amtie nguvu aweze fanya mitihani salama nahisi anapata maumivu makali sana moyoni coz anasema kama baba asingekuja kwenye graduation pengine asingefariki kazi za shetani hizi jamaniNa wewe mtoa maoni unayesema kaweka picha ya maiti hapo kama dini yako hairuhusu kaa kimya usilete mambo yako ya udinilisation kwenye mambo kama haya kama kwenu hairusu kwetu inakubalika
ReplyDeleteMtu njinga utanjua katika kufikiri kwake,nyie waislaim wenye udini katika kazi za watu hebu tuondolee ujinga kafiri mwenyewe kafungue global ya waislam usionyeshe matukio.ningekuona wewe na kibalagashia chako nngekukwida hicho kichwa kisichokuwa na akili mwenzanu kabuni global yake mwataka kumtilia nuksi kafe mwenyewe
ReplyDeleteKwa anonymous no.3 hapo juu, tofautisha Dini, Taaluma na Biashara. Mpe Mungu yaliyo ya Mungu na mpe Kaizari yaliyo ya Kaizari.
ReplyDelete"USIHUKUMU NAWE UTAHUKUMIWA!" MUNGU PEKEE NDIE MWENYE MAMLAKA YA KUHUKUMU.
ReplyDeletemnaona huyo wa juu alivyo anza, tukisema kwamba ustaarabu ni bora kuliko jazba wanasema, ooo sisi mnatubagua. kafiri?
ReplyDeletewe anonymous acha mambo ya kizamani ya udini kwani akiweka picha ni kitu gani mbona sisi waislam tunauridhia misiba ya wakristo,tuwe wamoja mambo ya ukafiri hapa sio mahali pake,elimika nyooo.....
ReplyDeletePole kwa familia ya marehemu. Mungu awape ujasiri kuipokea hali hii. Mungu ailaze pema roho ya marehemu.
ReplyDeleteMhh, ila wewe anonymous wa mwisho hapo juu utakuwa una matatizo na frustration zako. Kwani kila mtu anayeangalia hii blog ni Muislam? Michuzi anawakilisha ujumbe kwa jamii nzima sio waislamu tu. Mkubwa wewe...
Da wee michuzi kwanini umeweka hiyo kometi ya huyo kichaa wa sept 22, 09:27
ReplyDeleteDah mungu amrehemu na abariki familia yake ipate nguvu.
ReplyDeletewe anonymous 09:27:00 kwani watu wanaosoma wote humu ni waislam, fikiria kabla ya kuandika acha kuleta mambo ya udini humu..
ReplyDeleteWewe Wed Sep 22, 09:27:00 AM, marehemu jina lake ni Ernest, kwa hiyo ni clue kuwa hakuwa Mwislam, kama hurusiwi kuangalia maiti, endelea kuangalia picha nyingine.
ReplyDelete