marehemu Rozina Mbwette

Familia ya Profesa Tolly Mbwette inapenda kutoa shukrani za dhati kwa wanajumuiya wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania popote walipo.

Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) majirani wote wa Kimara “B” Mavurunza, marafiki,ndugu, na jamaa wote kwa ushirikiano mkubwa waliotupatia katika kipindi chote cha msiba wa Mpendwa Mama yetu, marehemu Rozina Mbwette.

Ushirikiano wenu ulituwezesha kumlaza mama yetu mpendwa katika nyumba yake ya milele huko Irambo, Mbeya Jumapili tarehe 12 Septemba 2010.

MUNGU AILAZE ROHO YAKE MAHALI PEMA PEPONI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Poleni sana familia ya Prof Mbwette na Majirani wa Hapo Marurunza - SUCA MOTEL. Ni pigo kubwa sana kwenu, lakini Mungu amempenda, akamchukua.

    Marko,
    USA

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...