


Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Labda sijaelewa, kidedea kivipi wakati report inasema tuko nyuma, au ndio propaganda hata kama watu wanalala njaa jamani? Usibania naomba kuelimishwa tafadhali
ReplyDeleteAsante Dakta Rose kwa mitindo kutoka Afrika. Unajua kuyapangilia mapigo ya kibantu.Tanzania inawakawaka ndani ya Waldorf Astoria, sio mchezo. Sifa za kweli au mnatupaka mafuta ili mtuchune vizuri?
ReplyDeleteMichuzi nani anakutumia hizi picha za NY haraka namna hiyo?
ReplyDeleteMi nadhani uko kwenye kampeni mikoani kule kwenye kuku kapanda baiskeli bata kavaa raizoni,ahahaha! Au PInda mwenyewe anakutumia? LOL!
Kaka hii si zarau hii jamani? enhe? Si zarau.
ReplyDeleteYaani Waziri Mkuu mzima anakabiziwa zawadi na MSANII? kiprotokali iko sawa hii?
Angekuwa Waziri Mkuu wa nchi zilizoendelea angekabiziwa zawadi na Msanii?
Aaa jamani!?
NI KWELI DR ROSE HUWA ANAPENDEZA SANA NA NGOU ZAKE I HOPE MAMA PINDA ANGETAFUTA FUNDI MZURI WA NGUO ZAKE NAYE HUWA ANAPENDA KUVAA NGUA ZA KIAFRIKA LAKINI NAONA FUNDI WAKE ANAMWANGUSHA
ReplyDeleteHii inaitwa INFIRIORITY COMPLEX kwa waafrika wengi Wasanii ndiyo watu muhimu kwenye campaign kama hizi na zingine kama malaria na HIV PM umependeza sana kula kuku baba
ReplyDelete