BURUDANI HII IMEKUWA ADIMU KWA MUDA MREFU SANA NDO MAANA FLAVANITE IMEAMUA KUANDAA USIKU WA " YENU "
NI IJUMAA HII NDANI YA
NI IJUMAA HII NDANI YA
ZHONGHUA GARDEN
MAENEO YA MOROCCO, DAR-ES-SALAAM kwa shs 5000/- TU
MASHABIKI WA FLAVANITE KARIBU
MASHABIKI WA FLAVANITE KARIBU
TULE RAHA PAMOJA KATIKA USIKU HUU WA YENU,
yaani ni MAYENU NON STOP
ukikosa YOU 'R FINISHED....
ukikosa YOU 'R FINISHED....
kusema burudani adimu kwa mda mrefu na kila siku tunayasikia hayo mayenu,halafu nyie fllava kwenda kupiga hapo kwa jamaa zenu hiyo si aibu,boni umekua sasa
ReplyDeleteJamani si jumamosi hapohapo zhong hua kuna afro beat night ambayo ilitangazwa mapema wiki hii? hata kama ni kutafuta hela na ushindani wa kibiashara basi peaneni nafasi, eti watanzania ni ushindani,umwamba ama ndio mabusiness. Churaaaaa
ReplyDelete