Mkurugenzi wa Masoko wa Vodacom Tanzania Ephraim Mafuru(kushoto) na Mkurugenzi wa Mahusiano wa wa kampuni hiyo Mwamvita Makamba wakipongezana kwa kazi nzuri mara baada ya shindano la kumtafuta Vodacom Miss Tanzania kuisha, Genevive Emmanuel ndiye aliyeibuka mshindi.nyuma pichani ni Mtangazaji wa Star Tv Muhsin Mambo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 14 mpaka sasa

  1. Hapo kwa jicho langu naona wanapongezana wao kuwa wamependeza na si kwa kazi nzuri ya kumaliza mashindano. Taratibu jamani haya....!!!tut.....haya!!!...

    NAWAPONGEZA SANA, NDIO RAHA YA KUWA NA WAKURUGENZI VIJANA KWENYE MAKAMPUNI.

    ReplyDelete
  2. Yes..weldan na gari la promotion!!lol

    ReplyDelete
  3. Hapa ni jinsi ya kula cha juu. Huyu jamaa namfahamu sana mchezo wake tangu akiwa TBL

    ReplyDelete
  4. Huna lolote Misupu,we sema tu umemind ze KONOOZZ!!!

    ReplyDelete
  5. Balozi Mafuru - classmate wangu wa shule ya msingi (Sima Primary School) kule Bariadi, hongera sana kwa ngazi uliyoifikia na kazi nzuri unayofanya.

    Japo mimi si mshabiki wa mambo ya urembo kwani ninatatizwa sana na dhana nzima ya urembo, huwa ninafurahi sana ninapoona Voda inajitolea kusaidia miradi ya kijamii kama kununua madawati, kujenga madarasa na nyumba za walimu na mengineyo. Kila la heri!!!

    ReplyDelete
  6. huyo miss genevive kweli hana jina la kibantu maana hilo emmanuel ahh ahh

    ReplyDelete
  7. stopper nae ameuza sura duh mwanza safiiiiiiiiiiiii au mwanza oyeeeeeeeee dialo ange muhamishia muksin dar mwanza anazeeka tu

    ReplyDelete
  8. Wanapongezana baada ya kushindwa kutoa zawadi ya maana. Hivi kweli wameshindwa kumpa mshindi gari tofauti na yale ya promotion 100. Maskini Genevive pole zako, nna uhakika hujaifurahia hiyo zawadi. Inawezekana magari ya promotion yako 99 na la mshindi ndio la 100. VODACOM MMEFULIA HAHHAHAHAHHAHA

    ReplyDelete
  9. Naona gwanda la CHADEMA hapo nyuma. Safi sana kijana hapo nyuma kwa kuwakilisha chama kubwa la CHADEMA.

    ReplyDelete
  10. Mwamvita jamani nampenda! She's just gorgeous and classy!

    ReplyDelete
  11. kazi nzuri kaka mafuru kwa kweri mumependeza na makamba ila ninachowaomba gari mlilotoa haliendani na mazigira yetu kama miss vodacom niwa mjini sawa lakini kama ni miss tz hiyo gari haimfai kwani hatawafikia wananchi wanaoishi vijijini ukizingatia barabara zetu ni mbovu inakiwa mtowe 4wheel au ndio kubana matumizi?by mkuki

    ReplyDelete
  12. "Mhhhhh, una kiuno kizuri wewe".

    "Asante. Na wewe pia una kifua kizuriiiiiii".

    "Hahahahahaha............."

    ReplyDelete
  13. haya majina! sijui tunayatoa wapi. Bongo watu wanaitwa genevive, frostanatus, perfection,cleopatra,...LOOH!

    ReplyDelete
  14. Dada kaziwa kamelala kumbe!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...