Home
Unlabelled
benki ya Barclays yazindua akaunti ya ligi kuu uingereza
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
You Cant be serious you Barclays. Badala ya kuanzisha 'bidhaa" za maana za kuleta maendeleo halisi mnaleta eti ligi ya Uingireza account...so what. Bwana Masoko wa hii bank ameshindwa kazi. Tafuteni bidhaa zitakazo wasaidia wananchi kuondoa umaskini wao, mikopo ya nyumba, elimu, biahsra, nk.nk. Siyo bidhaa kama eti ligi ya uingereza....hapa siyo uingereza. Ndiyo maana vijana jamii iko bize na ligi ya uingereza badaya ya kuwa na uelewa wa mambo ya maendeleo ya nchi yao.
ReplyDeleteBarclays mlinichefua;kuna wakati nilitaka kujua kama kadi yenu ya viza inapiga mzigo maeneo gani nikaambulia ni tanzania tuu!! Noma sana.
ReplyDelete