Home
Unlabelled
JK akiwa newala leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Jamani ee, naomba kuuliza; hivi kwani ankal yuko CCM?? mbona anapost kampeni za CCM tu??
ReplyDeletekukusaidia mtoa maoni wa kwanza,anko yupo katika timu ya jk tangu day one,ni miongoni mwa waandishi walioteuliwa na mratibu wa habari wa mgombea huyo bw muhingo rweyemamu kama utakumbuka Kikwete press 2010 baadhi ya wengine ni msigwa,msungu,khalifani,mwendapole pekua magazeti na angalia tv utaona majina ni yale yale
ReplyDeletembona huyo nyigu hapo nyuma ya jk(mwenye shati nyeupe) ni mnene sana
ReplyDeleteTarehe Thu Oct 21, 04:08:00 PM, Mtoa Maoni: Anonymous
ReplyDeleteSi wewe peke yako ambaye amewahi kumsakama Michuzi kuhusu hiyo kero yako.
Hivi unajua maana na very the essence ya "blog"?
Pengine , hii itakusaidia kufumbuka macho:
"A blog is a frequent, chronological publication of personal thoughts.
Hapo juu kuna phrase: "personal thoughts."
kwahiyo, kila blog ina bias yake; it is personal and, thus, subjective! Blog ni tofauti kabisa na gazeti!
Wenye kufikiria blog ni gazeti are, indeed, polluting the communication environment of blogging>
Kama Michuzi anatundika ya CCM tu, hana kosa lolote!