Align CenterRais Mstaafu wa Awamu ya Pili Alli Hasani Mwinyi akitoa hotuba baada ya kushiriki katika matembezi ya Rotary Dar Marathon yenye lengo la kukusanya fedha kwa ajili ya miradi ya Maji Mashuleni yaliofanyika jijini Dar es Salaam.
Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Alli Hasani Mwinyi mwenye Mvi kulia akishiriki katika matembezi ya Rotarl Dar Marathon yenye lengo la kukusanya fedha kwa ajili ya miradi ya Maji Mashuleni yaliofanyika jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Mauzo wa Vodacom kanda ya Pwani Chris Blacburn, wa Kwanza kushoto akikimbia umbali wa km 21.1 wakati wa mbio za Rotary Dar Marathon zenye lengo la kukusanya fedha kwa ajili ya miradi wa maji mashuleni yaliofanyika jijini Dar es Salaam
Baadhi ya wanafunzi wa shule mbalimbali waliodhaminiwa na kampuni ya Vodacom wakishiriki katika matembezi ya Rotary Dar Marathon yenye lengo la kukusanya fedha kwa ajili ya miradi ya Maji Mashuleni yaliofanyika jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. kaka mkubwa kila mzee Mwinyi kwenye mbio vipi kuhusu Nkapa au yeye huwa hakimbii sijawai kumwona kwenye kuhamasisha jamii upande wa mazoezi kama haya.

    ReplyDelete
  2. Anony wa 06:33:00 umesahau kama Njee Nkapa ana matatizo ya NYONGA! Tangu wakati uleeee wa tukio lileeee . Tumswamehe atahamasisha kwa njia nyingine hata kwa makala

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...