Mimi ni mdau wa Blog yetu hii ya Jamii,
Tafadhali ninapenda kuwasiliana na watanzania wowote waliopo nchini Costa Rica katika maeneo ya San Jose au popote pale Costa rica. Yaani nina upweke wa kuzungumza kiswahili.
Kwa hiyo naomba watanzania au east africa kwa ujumla tuwasiliane kwa email hizi ili tupeane namba za simu na kuwasiliana..
email zangu ni
au
Nitashukuru sana.
Mdau Costa Rica

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. ivi balozi hazisaidii adi uje humu?
    pili,unamis kuswahili cha nn ww ilhali ulienda kwa malengo yako uko?
    ndo jichanganye bwa'mdogo

    ReplyDelete
  2. halooo nitumie visa mimi nitakuja huko tukae wote, nitakupa na mavituzzzz

    ReplyDelete
  3. Labda nikupe contact za wacostarica ninao wafahamu waliopo hapo

    Hola

    ReplyDelete
  4. we anony 09:05:00am Oct.18,
    Inaonekana bado upo nyuma sana katika kujua maana ya libeneke la mtandao au "Social network"
    sasa kuna kosa gani?mtu kujitangaza ktk globu hii kuwa anawatafuta waswahili wenzie?na una mwelekeza kwani ubalozi hawezi kusaidia?kwa taarifa yako basi sio kila nchi kuna ubalozi wa bongo,
    (B) hata kama ubalozi upo,ubalozi haulusiwi kutoa anuani ya mtu au simu bila ya ridhaa.
    jaribu kuwa makini usiwe na mdhaa katika ukweli

    ReplyDelete
  5. network kitugani bwana, we jichanganye na washkaji, ushazoea uzembe wa bongo unatafuta wa kuporojeka naye. piga mzigo, wabongo utatukuta ukirudi ah kujitenga 2

    ReplyDelete
  6. Mon Oct 18, 05:44:00 PM wee annon nakujibu ifatavo

    ivi unapoenda ktk nchi fulani unataka kukutana na wabongo wezio muongee kiswahili?au umeenda kwa madhumuni yako binafsi?kwanini unaenda nje ya nchi ilhali unaaza kumis-mis watu ya nini!!ni utoto na ulimbukeni...ubalozi unaweza ulizia (kwa washamba/watoto km nyie)if iyo nchi kuna atleast wabongo then kimpango wako...ndo nyie mnaoishia kuwa na magroup ya MAFIA kwa kutafuta-tafuta wabongo kiivo!!!
    kama huwezi ishi na jamii ya hao wakostalika rudi bongo usipende deko
    umeelewa wee annon unaejidai na social networks sijui nn!!alaaa ukue

    ReplyDelete
  7. kuzoea umbea wa kibongo tu!!chapa box wee kijana achana na kiswahili!!
    alaaa umefata nn uko?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...