NDUGU MOHAMMED ABDALAH LIHOMBA (MJANJA WA KILOSA )
Mwajiriwa wa Sheikh Suleiman Bin Abdul Azizi al Rajhi & Sons Co.
Amefariki dunia jana mchana 16 october 2010 Jeddah baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Mwajiriwa wa Sheikh Suleiman Bin Abdul Azizi al Rajhi & Sons Co.
Amefariki dunia jana mchana 16 october 2010 Jeddah baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Mwili wa marehemu upo Jeddah na mipango
ya mazishi inafanyika nyumbani kwake kimara.
Tutapeana habari kila tukipata taarifa kutoka kwa ndugu wa marehemu.
Wasiliana na:
Ramadhan Makau +966502918529
Rajab Kosovo +255683302933
Rajab Kosovo +255683302933


To God we belong, and to god is our return.
ReplyDeleteLakini, ni wazo tuu...kiislam ni sunna kuzika mtu alipofia. Nadhani pia gharama ni nafuu kuliko kusafirisha.