Home
Unlabelled
sherehe ya send off ya salama martin
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Jamiani hii kazi ya Shamimu muachieni kazi yake. tuletee habari nyingine hii lifestyle kitu waachie mabloga wa lifestyle.
ReplyDeleteHongera bibi harusi na familia yako, natutakiwa mafanikio katika ndoa yako.
Kumbuka uhusiano wowote ule unahitaji uvumilivu, wa ndoa unahitaji uvumilivu mara kumi ya mahusiano yote uliyonayo.
Hongereni. Mmependeza. Swali lakini: Kwa nini mkaamua kumtesa huyo mbuzi kiasi hicho?
ReplyDeleteWho is Salama Martin?
ReplyDeleteWho is Salama Martin?
ReplyDeleteKWELI UYO MBUZI APO ATA MIE SIJAPENDA HAMNA HURUMA?MMEMUWEKAJE IVO?
ReplyDeleteWATU WENYE HAKI ZA WANYAMA AKYA MUNGU HAWATOPENDEZWA
wewe unayelalamika juu ya mbuzi i am sure unakula wanyama kama watu wengine na kama hauli it is your choice. ninajua wanyama lazima wawe na haki zao lakini binadamu ni lazima wale vyakula bora, kwani hata huko porini wanyama wanakula wanyama wenzao. hii ndafu ni sawa kabisa kwa watu we kaskazini ya tanzania. hongereni salama na mwenzio mmependeza sana.
ReplyDeletesasa huyo ndafu mbona kama anakata gogo? (kama huelewi uliza watoto wa ilboru)
ReplyDeleteE. Mrema, kumbe na wewe huwa unafika huku kwa Mr Michuzi. nimeona comment yako hapo juu kuhusu kukata gogo nikajua ni wewe tu.
ReplyDeletemambo ya kula nyama ya mbuzi kasimama kabisa kwa kweli ngumu.
ReplyDeleteHongera bibiharusi kafurahia maisha lakini kumbuka tu penzi likiisha tu usije ukalia kumbuka ni wakati wa kubeba vifurushi na kuyoyomea na maisha mengine. Waswahili hao kazi yao kuonea tu watoto wa watu.
ReplyDelete