Familia ya Bw. Ibrahim Msoke, wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji na Bi. Faith wa AAR Health Services, wanatoa shukrani kwa wote walioshiriki katika kipindi cha msiba wa mtoto wao mpendwa OMARY MSOKE, aliyefariki kwa ajali ya gari eneo la magomeni tarehe 9 Septemba, 2010 na kuzikwa huko Lusanga Muheza, Tanga tarehe 11/09/2010.
Shukrani za pekee ziwaendee wafanyakazi wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji, wafanyakazi wote AAR Health Services pamoja na ndugu, majirani na marafiki wote.
Arobaini itafanyika Tanga tarehe 16 na 17 Oktoba, 2010.
MWENYEZI MUNGU AILAZE ROHO YAKE MAHALI PEMA PEPONI
- AMEN
Shukrani za pekee ziwaendee wafanyakazi wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji, wafanyakazi wote AAR Health Services pamoja na ndugu, majirani na marafiki wote.
Arobaini itafanyika Tanga tarehe 16 na 17 Oktoba, 2010.
MWENYEZI MUNGU AILAZE ROHO YAKE MAHALI PEMA PEPONI
- AMEN



RIP mkaka mzuri jamani duh! kazi ya mola haina makosa. poleni sana wafiwa.
ReplyDeleteR.I.P OMAR
ReplyDelete