Mwali akiwa katulia tuliiii baada ya kunyakuliwa na wana Stars United

Timu ya watanzania ya Stars United imepokea kikombe chao cha mashindano ya Bongo soccer flava iliyo fanyika mjini Atlanta, Georgia nchini Marekani 11/09/2010

Stars United walishinda kikombe hicho baada ya kuwafunga kwa penalties wenyeji wa Mashindano hayo Tanzanite FC ya Atlanta

Mashindano haya yatakayo kuwa yanafanyika kila mwaka yalihitimishwa Rasmi na Surprise guest Hasheem Thabeet na wanabongo flava kama Wakazi Wasira, AJ ubao,Dady V wa Kenya na kumaliziwa na Heavy weight MC Professor J.

Hongera Stars United

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Mwali anameremeta

    ReplyDelete
  2. bongo united mwaka huu lazima muondoke ndani ya houston thanks giving.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...