





kwa picha zaidi za onesho hili.
BOFYA HAPA
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
KITU KINACHOTUANGUSHA SISI WATANZANIA NI HAYO MABANGO YA BIA KILA KONA..KWANI HAMWEZI FANYA MAONYESHO YA KHANGA BILA HAYO MATANGAZO YA BIA TUSKER TUSKER..
ReplyDeleteInasikitisha kuona mwanamke wa kiislam anafanya vitu kama hivi,... wake up Mama Asia its time to do good deeds and ask for forgiveness to win ALLAh's love and forgiveness dah! na huyo baba mtu mzima masikini ameshafikia magharibi kabisa , Insha ALLAh nawaombea ALLAh awazindue mfanye mema katika hizi siku zenu zilizobaki ...
ReplyDeleteMungu ndiyo anaye hukumu na wala siyo wewe anony wa oct 2nd. Muache mama Asia an mme wake waishi wanavyo taka. Msikitini si wana kwenda? Mawaidha si wana sikia? Quran si wanasoma? Sasa wewe yana kuhusu nini?
ReplyDeleteMama Idarous onyesho lilifana ila tu jaribu kuchagua mamodo wa standard za ukweli,nguo inaweza isionekane imetulia kwa sababu ya mjaribishaji.
ReplyDeleteTizama,huyo moda wa kiume,mwili choka mbaya,na huyo mwanamke naye.....wacha tu nimsitiri.
Mdau Istanbuli