


"Tunatengeneza kwamba siku moja sekta hii ya Fashion kwa Afrika Mashariki itakuwa zaidi na kutambulika kuwa kiungo bora kwa Sekta ya viwanda na kuwa moja ya wachangiaji wakubwa wa uchumi kwa hii",amesema Mustafa.
Origin Afrika na Swahili Fashion week inatoa fursa kwa wabunifu wa kuonesha ubunifu wao, na kuwapa taaluma katika masuala ya mauzo kwa ujumla. Hii ni nafasi adimu kwa wabunifu kuitumia ipasavyo katika kuonesha vipaji vyao na pia kupata fursa ya kubadilishana uzoefu na kuitangaza kimataifa kwa upana zaidi African Fashion. Picha na Jiachie
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...