TANZANIIA STUDENT ASSOCIATION OF MYSORE (TASAM) INAWATANGAZIA WATANZANIA WOTE WAISHIO MYSORE HUSUSANI INDIA,KWAMBA KUTAKUWA NA SHEREHE YA KUWAKARIBISHA WANAFUNZI WAPYA (FRESHERS) ITAKAYOFANYIKA TAREHE 09-10-2010 NEW SHARADA RESORT.

KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NA:

MWENYEKITI +919538397925
KATIBU +919739273547
NAIBU KATIBU +919538397907

BY UTAWALA TASAM.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...