Meneja wa bia ya Kilimanjaro ambao ni wadhamini wakuu wa mashindano ya Bongo Star Search,George Kavishe akizungumza machache katika hafla ua ufunguzi wa nyumba ya BSS uliohanyika usiku wa jana jijini dar.nyumba hiyo ambayo ipo maeneo ya Mikocheni ndio itakayotumiwa na washiriki wa shindano la Bongo Star Search (BSS) wakati wote wa mchakato wa kumsaka BSS 2010.nyuma ni baadhi ya washiriki hao
Washiriki wa Bongo Star Search 2010 wakiwa katika picha ya pamoja katika hafla fupi ya ufunguzi wa nyumba watakayoitumia kwa kipindi chote cha mchakato wa kumtafuta BSS 2010.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...