Kikosi Cha Yanga.
Kikosi Cha JKT Ruvu

mchezo kati ya Yanga na JKT Ruvu uliofanyika katika uwanja wa Jamhuri wa Mjini Morogoro leo umemalizika kwa timu hizo kutoka sare ya bila kufungana.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. .........Huo uwanja mbona hakuna nyasi kabisa???? au umezeeka umepata kipara??? nakumbuka nilikipiga hapo Jahmuri Stadium late 80s na early 90s.........tulikuwa tunateleza kwa tumbo baada ya kutikisa nyavu.....lakini nionavyo hizo picha ukijaribu kuslide kwa magoti utaharibika kuliko mtu aliyeshambuliwa na Chui mwenye njaa kali.........hahahahahahaha!!!

    Watawala wa michezo mnauchapa usingizi mno...aliyetuloga kweli amekufa......

    ReplyDelete
  2. Kweli kabisa na kwa hali ya hewa ya Moro uwanja ungetakiwa uwe kijani. Au labda uemtandazwa kapeti!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...